Tunaget high kujientertain
Au kuficha kapain
Sema wallahi na unadanganya
Life najua itakucane
Peace of mind ndio kitu hawana
Try kutuliza brain
Naficha white nalipwa na fame
Najua wanaskia kujimurrrr, uh
Utaona disguise zikianza kufade
Na time utaona tuchange
Watatry kusema walikumake
Nkt, si wangejimake?!
Patience ya mine, huwaga inafail
Unahaharibu vibes, unatupwa njei
Unaskia nalight, napuliza j
Najua wanaskia kujimurrrdaaah

Days za mine of late
Zote ni holiday
Mula ni looong
Nacheka na confidence
Nakimbiza dopamine
Najua kuna consequence
But, mula ni looooong
Days za mine of late
Zote ni holiday
Mula ni looong
Nacheka na confidence
Nakimbiza dopamine
Najua kuna consequence
But, mula ni looooong

Naona masmile, naona maface
Zingine familiar zingine naguess
Blessed vile huwezi amini
Nimeshinda siku mzima nafinya refresh
Fresh narap kaa mimi
Hakuna mtu mwingine natry kuimpress
Yes, nacheka na nyinyi
Nikichezanga chini
Juu nacheza chess
Kwa life ya mine we ni guest
Ukitoka jua kuna next
Ukiskia tamaa hiyo ni flesh
Ukiishiwa jua we ni ex
Niko on my grind kaa crusher
Naplan hadi time ya kurest
Pass bag hii side kaa usher
Skia bars, hiyo ni Nairobi West

You just wanna feel something
(Just wanna feel)

Maybe ni mimi
Ni fame ama nini?
Watiaji ni wengi
Maflow ni baridi
Mashow ni wazimu
Madollar ni mingi
Nikidai naeza bini ni bini ni bini
Ukishakata simu
Nishashika ingine
Mwaka imejaa
Kwa flyer ni mimi ni mimi ni mimi
Ushaona kakitu na hujaona ata kitu
Maybe ni mimi
Ni fame ama nini?
Watiaji ni wengi
Maflow ni baridi
Mashow ni wazimu
Madollar ni mingi
Kwa flyer ni mimi
Ni mimi
Ni mimi
Ni mimi
Ni Mimi

Days za mine of late
Zote ni holiday
Mula ni long
Nacheka na confidence
Nakimbiza dopamine
Najua kuna consequence
But, Mula ni looooong
Days za mine of late
Zote ni holiday
Mula ni long
Nacheka na confidence
Nakimbiza dopamine
Najua kuna consequence
But, Mula ni looooong