Big boy Ana kasura ka upole Miaka nenda rudi hazeeki Tena ni mtu wa gym gym Shepu ndo linanipa wazim zim Na tattoo nimchore Ila ndo hilo tena hapendeki Ama kweli mapenzi hayana mwalimu Wengine hata kuniona ni adimu Hivi tuseme ana ngekewa Ama nyota yake kali ananizidi Ama mjini nimechelewa Ona wengine wanamponda wanamuita bibi Nilianza kumuona mapema Enzi za mabanda ya sinema Alikuwaga ni rafiki na Wema She is so cute Acha wanione mshamba tu Mtuta hawezi kunipigia honi Umri nao ni namba tu Kinachoniuma anajifanya haoni Kama unamjua, mtaje Nani anayemjua, mtaje Kama unamjua, mtaje Avimbe kichwa ajisifie Basi kama unamjua, mtaje Kama unamjua, mtaje Kama unamjua, mtaje Avimbe kichwa ajisifie Anayelenga kwa rula siku zote ndo apatae Mwambieni mwanangu Paula mi nampenda mamaye Tena ni fundi wa kuchanua ah Utasema samaki ng'onda Hapo ndo nikagundua ah Hii ni kiriwani za Makonda Kwa dala dala dala, ninashindwa kulala lala lala Anambadala dala dala, anaitoka ka... ka... Hakika ye ndo kiboko yangu Jua likiwaka ikinyesha Utembo na ujeshi wangu Getini kwake nilikesha Mtihani wa mapenza hakuna aliyefuzu Sawa unywe pombe na useme una udhu Na mtu kisha penda unakuwa zuzu Ati nawazaje kuwa mama zuzu Kama unamjua, mtaje Kama unamjua, mtaje Kama unamjua, mtaje Avimbe kichwa ajisifie Eh, Big boy na Middo wanamjua Chaupole anamjua Anko Duke Naye anamjua Sara Boy na Tembo wanamjua Aizzakela wa mipango anamjua Kingi Popa Mzambele wanamjua Eeh eeh eeh (Mixed by sonic)